INTRO
Licha ya kumthamini
Akaona mi simfai
Sababu ya yule mwafulani
Ndiyo maana anajidai
Mara atanitukana mara ataniblock
Hivi Matusi ya Nini?
Haya yangu machungu
Moyo wangu mi mchungu
Liko wapi langu fungu?
Siwezi jibizana ila namwachia
Mungu
Yeye ndiye mwenye hukumu
Kwenye mapenzi ya kudumu
CHOROUS
Basi ,Oh Basi!Isijekuwa mikosi
OUTRO
Hivyo vijikokopa ya nini masimango?
Mwili unakondakonda ndiyo kwanza bado
Oh Basi , Basi acha niende zangu Mama
Ndugu zake nawafahamu akina sadamu
Ila walinitoka hamu waliponipanga kwa zamu
Oh Basi, Basi acha niende zangu Mama
Licha ya kumthamini
Akaona mi simfai
Sababu ya yule mwafulani
Ndiyo maana anajidai
Mara atanitukana mara ataniblock
Hivi Matusi ya Nini?
Haya yangu machungu
Moyo wangu mi mchungu
Liko wapi langu fungu?
Siwezi jibizana ila namwachia
Mungu
Yeye ndiye mwenye hukumu
Kwenye mapenzi ya kudumu
CHOROUS
Basi ,Oh Basi!Isijekuwa mikosi
OUTRO
Hivyo vijikokopa ya nini masimango?
Mwili unakondakonda ndiyo kwanza bado
Oh Basi , Basi acha niende zangu Mama
Ndugu zake nawafahamu akina sadamu
Ila walinitoka hamu waliponipanga kwa zamu
Oh Basi, Basi acha niende zangu Mama
( Raptor El Shariff )
www.ChordsAZ.com