Song: Umoroto
Artist:  Wakadinali
Year: 2021
Viewed: 1 - Published at: 2 years ago

Big beats Afriq
Whozu hmm yo!

[Verse 1: Munga Domani]
Kama we ni mchizi magames na player
I'm so N.Y nakaa E.A
Mjuniour am breeding hukaa L.A
Maasai na amedunga ma-Meerell
Na kutoka S.A aliniuzianga makaa L.A
Don't bother hii ni Wakadinali
Niite Don Munga Whozu mi ni nani?
Karao nilimtukana na ni ka-Turkana
Nilimbongesha kilami
Munga nawakana mwizi alitagwa
Buru ndani Burudani
Mtoto msichana Hannah Montana
Gwanja na miraa
Niliacha kuzifanya hizo madawa
Ma jaba na miraa
Choma boza Munga ma mchicha
Ati wako nichi wachawi wanajificha
Nimetoka Umoroto kuwajibika
Hata kukinyesha mi hubuy-ia mjuniour ma criba
Balaa baba! Umeshiba?
Na ujue mi silei Osama
Usiwai enda kuiba
Sanse walikuja na Mazda
Idhaa flani nikikunywa chwada
Za ovyo tu kunihadaa
Ati ju ya handas utalala Mada
Saa hizo niko madawa maduya
Mtadu what?
Vitu wanadu tuna-boo
Wanabuya wanagwaya
[Hook: Munga Domani]
Still am living my dream
Nataka Benzo na Bimmer
What you talking nanii?
Naeza kubuy-ia kwa bar na unazima
Kama sikuchoti mamii
Risto za free-ride hakuna
Nani? Nani? (Huh), Ni Wakadinali ririma

[Chorus: Munga Domani]
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa (uh)

[Verse 2: Sewersydaa Mkadinali]
Alitaka niingiwe marungu
Wapi juu informer aliua nyungu
Tulimchunguch nugu
Tulimuonea 18 kiu Mungu Mungu
Mkate ikatwe nusu nusu
Biz legit tukiwa mi na Whozu
Na ni kuuliza tu, BBI Corona inatuhusu?
Hatu-pose hata kama ni kwa picha
Na hatudoze masaa si hupitisha
On toes jo hamwezi tupita
Na mmekimia hamwezi lilisha
Slaves design ya Lupita
12 years Inda ju ya kuiva
Baze usikam ka umepiga
Unaeza rudi jakdes bila
Sija-munch tangu late March
Siwezi fight-ia system corrupt
Na usifuss ka huwezi spar
Nchi zingine pia wao ni mraa
Nyako ulimtoa kwa baa
Mali fisa nilianua reserve
Na of course tuko na gun
Haimaanishi uingie round ku-snatch
Kuna time nilikuwa kwa crowd
Na kuna time niligeuzwa Stephen
RIP my partner in crime
Alikuwa stoned to death mtaa ju ya wizi
Sai niko exile pon di way
On the road to mtini
RIP my partner in crime
Alikuwa stoned to death mtaa ju ya wizi
[Hook: Munga Domani]
Still am living my dream
Nataka Benzo na Bimmer
What you talking nanii?
Naeza kubuy-ia kwa bar na unazima
Kama sikuchoti mamii
Risto za free-ride hakuna
Nani? Nani? (Huh), Ni Wakadinali ririma

[Chorus: Munga Domani]
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa (uh)

[Verse 3: Scar Mkadinali]
For real for real
Yoh, nimetoka keja tena (uh)
Back in the streets ducking police
Nitakuwa mteja tena
Chini matick Patek Philippe
Sijui ningeongezea mbwenya
Huyo mtoto huscream ye hupenda hii stick
But ye huwanga shy kusema
Bitch umerudi cyber tena
Mi Dosh na si wa side za Tena
Ah bro bro ashaingia chamber
Cheki hizo side za pienga
Pull up kwa ndae na ndeng'a
Bitch dunga hio M-Pesa tena
Yoh nini inaryhme na error?
Oh mi siwezi smile na hater
Ukitaka unapewa sahii, tukitoka ni best I leanse
Hatuzozi na wasee hawasaidii
Eastlands said they know me I said for real
Nina mbogi just me and my Gs
Jaza pori ju mi huwanga biz
Slowly slowly I go on man knees
You fuck with my homies you fuck with me
(For real)
Mi huwanga lyrical
Nina ndeng'a I had to leave it on
New iPhone to write my lyrics on
Chwadi bugazzi, jaba digital
Macho ni indigo, drama ni mingi jo
Mambeina leave me alone
Hashtag easy oh...
[Hook: Munga Domani]
Still am living my dream
Nataka Benzo na Bimmer
What you talking nanii?
Naeza kubuy-ia kwa bar na unazima
Kama sikuchoti mamii
Risto za free-ride hakuna
Nani? Nani? (Huh), Ni Wakadinali ririma

[Chorus: Munga Domani]
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema (uh)
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa (uh)

( Wakadinali )
www.ChordsAZ.com

TAGS :